Header Ads

click here

NGOMA MBICHI MALINZI, MWESIGWA WAKOSA TENA DHAMANA, WARUDISHWA RUMANDE

Wawili hao wanakabiliwa na mashitaka mbalimbali kuanzia 25 hadi 28 likiwemo lile la matumizi mabaya ya ofisi na utakatishaji wa fedha.
   
Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, Wilbard Mashauri  alisema upande wa utetezi wenyewe wanatambua kuwa mashitaka ya utakatishaji fedha hayana dhamana.

No comments

Powered by Blogger.