Header Ads

click here

YANGA YAIVURUGA ASHANT UNITED KWA BAO 4-1.


Mabingwa watetezi wa  kombe hilo la ASFC wameendeleza ubabe baada ya  kuingia uwanjani na kuwachapa wapinzani wao Ashant goli 4-1,mchezo uliochezwa katika uwanja wa uhuru hapa jijini dar es salaam majira ya jioni.















No comments

Powered by Blogger.