Header Ads

click here

SIMBA YAPENYA KWENDA FAINAL.

Simba fc yafanikiwa kupenya kwenda fainal kukutana na azam ambayo itapigwa ijumaa ya wiki hii baada ya kumlaza yanga fc kwa mikwaju ya penart 5-3 na kuweza kuvuka hatua ya nusu fainal kwenda fainal simba sasa imejipanga imara kukuta na azam fainal itayopigwa siku ya ijumaa uwanja wa amani stadium huko zanzibar.

No comments

Powered by Blogger.