PICHA 10: Aina za magari yaliyoendeshwa na mastaa wa Tanzania 2016

Kupitia XXL ya Clouds FM iliyoruka December 29, 2016 imetajwa list ya magari yanayomilikiwa na yaliyowahi kumilikiwa na watu maarufu wakiwemo mastaa wa muziki, watangazaji na wacheza filamu. Kwa mujibu wa B Dozen amesema kigezo kilichotumika kuipanga list hii pamoja na mastaa hao kuthibitisha kumiliki magari hayo pamoja na kukutwa wakiyaendesha magari hayo mwaka 2016.
Hapa ni picha 10 za magari hayo.
1. Masoud Kipanya (MTANGAZAJI WA RADIO) – Hummer H3










No comments