Header Ads

click here

WILLIAM NGELEJA ARUDISHA PESA KWA TRA MILIONI 40.4 ALIZOPOKEA KWA RUGEMALIRA.

Mbunge wa sengerema MH.WILLIAM NGELEJA amesema tayari amekwisha kurudisha pesa kwa tra ambazo amepokea kama msaada toka kwa ndugu JAMES RUGEMALIRA ambae ni mmiliki wa kampuni ya VIP ENGINEERING AND MARKETING LTD.

Amesema sababu za kurudisha  pesa hizo milioni 40.4 ni baada ya kusikia ndugu james rugemalira anahusika na sakata la ESCROW na kurejesha fedha hizo kwa TRA.
Pia amesema kurejesha fedha hizo kwa kuwa aliempa msaada ni mtuhumiwa wa ESCROW.

Hata hivyo ndugu ngeleja amesema kupokea msaada ni jambo la kawaida ila usipokee msaada unaotokana na kashfa yeyote na kumpongeza Rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania kwa maendeleo ya nchi.

No comments

Powered by Blogger.