Header Ads

click here

Kutana na Mwanamitindo wa kike chipukizi kutoka Tabora

Anaitwa ROSE VINCENT.. NI MWANAMITINDO anayechipukia kwasasa mkoani TABORA pia ni msanii wa FILAMU kutoka DOLPHIN art's GROUP... Lakini pia ni Mbunifu wa mavazi

Ni binti wakitanzania anayeikimbiza kwa kasi ndoto yake hiyo ya Ubunifu ili kuyafikia malengo yake na kujakua Mwanamitindo mkubwa Tanzania na Duniani
Tazama picha hapo chini usiache kutoa comment yako

Image may contain: 3 people, people smiling, people standing, shoes and outdoor










ROSE Akiwa katika pozi akionyesha Vazi lake alilolibuni lenye nakshi za mapambo ya chapa juu na chini
Image may contain: 4 people, people standing and text
Rose Akiwa kwenyepozi na Vazi la kibunifu Image may contain: 3 people, people standing

No comments

Powered by Blogger.