Header Ads

click here

Conte kumsajili mchezaji huyu kutoka Bayern Munich



Kocha wa klabu ya Chelsea, Antonio Conte amedaiwa kwamba yupo tayari kufanya usajili wa mchezaji kiungo wa kimataifa wa klabu ya soka ya Bayern Munich ya Ujerumani Arturo Vida.


Inadaiwa Conte amemuandalia Arturo Vidal dau la paundi milioni 34 ili kumnasa katika dirisha dogo la mwezi huu wa Januar Conte na Vidal walishawahi kufanya kazi pamoja wakati wapo Juventus. Tusubiri kuona endapo atampata.

No comments

Powered by Blogger.